MTIHANI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA – SUNRISE SEC. SCHOOL SONGWE

Event Date: January 1, 1970 Time: Location: SUNRISE SECONDARY SCHOOL
Address: SONGWE MBEYA

IMG_0018 (8)

Fomu za kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza Sunrise Secondary School Songwe zimeanza kutolewa na zinapatikana katika maeneo yafuataya:

  • Makao makuu ya kanisa la uinjilisti Mbalizi ( Kwa lehner)
  • Chuo cha uuguzi na ukunga Ifisi
  • Karibuni Center (Magorofani Mbeya mjini)
  • Shuleni Sunrise Secondary School – Songwe

Fomu zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= na usaili utafanyika tarehe 23/11/2013 siku ya Jumamosi saa tatu asubuhi shuleni Seunrise Secondary School Songwe.

NYOTE MNAKARIBISHWA.

No Response to “MTIHANI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA – SUNRISE SEC. SCHOOL SONGWE”

Comments are closed.